Wizara ya Afya yakutanisha Wadau kujadili Rasimu ya Uwekezaji kwa Wanawake Kiuchumi
Pix 5 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii, kwa kushirikiana na Wadau wa maendeleo ipo katika maandalizi ya Mkutano wa Jukwaa la Kimataifa la kuhuisha harakati za kizazi chenye usawa (Generation Equality Forum) utakaofanyika Mwezi June 30 hadi Julai
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed